Merkel arejea tena katika uchaguzi jimboni Lower Saxony - Deutsche Welle
Deutsche Welle
Merkel arejea tena katika uchaguzi jimboni Lower Saxony
Deutsche Welle
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anakabiliwa leo(15.10.2017)na mtihani katika uchaguzi wa jimbo, baada ya kushinda muhula wa nne kwa kupata ushindi mwembamba uliomlazimu kuingia mazungumzo magumu ya kuunda serikali. Landtagswahl ...
Ver mas »